Nyanya kilo 2, Vitunguu kilo 2, Viazi Mbatata kilo 5, Karoti Kilo 2, Hoho Kilo 1, Tangawizi ½ kilo, Ndimu ½ kilo, Chumvi Pakiti 2, mbogamboga fungu 2, Matango 4, Matunda ya Msimu(lolote), Kuku wa Kisasa 2 .
Sasa inawezekana kuandaa kikundi chenu kuanzia watu 10 au zaidi na kupata mafunzo live juu ya mbinu tofauti zinazotumika katika mapishi kwa gharama ya Tsh 100,000/= tu.