+255 765 658 595 info [at] mamamia.co.tz
You currently have
in your basket.

Fresh Farm Products

 

Tunazalisha na kuuza mazao ya aina mbalimbali yaliyo fresh katika mashamba yetu na kufanya delivery ya mazao hayo. 

Mazao mbalimbali yanapatikana kama vile matunda yaani pilipili mwendokasi (chillies),nanasi(pineaple),ndizi mzuzu(banana bunch),boga lishe(butter nut),mbogamboga kama bamia(ocra) na mengine mengi. 

Wasiliana nasi

+ 255 784 350 230

Sort by
Display per page

Banana bunch (ndizi mzuzu)

Tunazalisha, tunavuna, tunauza kwako....Nunua ndizi mzuzu direct toka shambani kwa bei poa ya Tshs 7,000/= tu kwa kila kilo moja.
7,000.00 (TZS)

Butter nut (Boga lishe)

Tunazalisha, tunavuna, tunauza kwako...Buy now fresh butter-nuts direct toka shambani kwa bei poa ya Tshs 2,500/= tu kwa kila kilo moja.
2,500.00 (TZS)

Chillies (pilipili mwendokasi)

Tunaotesha, tunavuna, tunauza ...Nunua pilipili mwendokasi safi direct toka shambani kwa bei poa ya Tshs 4,000/= tu kwa kila kilo moja.
4,000.00 (TZS)

Green bell peppers (pilipili hoho)

Achana na kutumia mazao yaliyolala...buy now fresh green bell peppers direct toka shambani kwa bei poa ya Tshs. 1,500/= tu kwa kilo.
1,500.00 (TZS)

Ocra (Bamia)

Achana na mazao yaliyolala sokoni...buy now bamia nzuri direct toka shambani kwa bei poa ya Tshs. 2,000/= tu kwa kila kilo moja.
2,000.00 (TZS)

Pineapple (nanasi)

Buy now quality pineapples direct toka shambani kwa bei poa ya Tshs 3,000/= tu kwa kila moja.
3,000.00 (TZS)
Copyright © 2024 Mama Mia’s Soko. All rights reserved