+255 765 658 595 info [at] mamamia.co.tz
You currently have
in your basket.

Natural Soaps

Watengenezaji na Wasambazaji wa Sabuni nzuri za Miche na maji. 

  • Tuna Sabuni za asili zitokanazo na mafuta ya mawese zinazofaa kwa matumizi ya kufulia na kuogea
  • Sabuni za maji kwa usafi wa nyumbani wa kudekia, kuoshea na kufulia 
  • Sabuni zote zinatumika kwa maji aina zote hata ya chumvi.
  • Tunauza kwa jumla na rejareja 

Tunapatikana Dar es Salaam, Kinondoni

+255783351173 Mauzo

+255657031912 Ofisi

IG: @palmoiltanzania 

FB: @palmoil

 

 

Sort by
Display per page

Palm Soap

Katon ya sabun yenye vipande 30 Imetengenezwa kwa mafuta ya palm oil/ chikichi na karafuu
11,000.00 (TZS) 10,000.00 (TZS)

Sabuni ya Magad/mawingu

Sabuni hii ni sabun itokanayo na mafuta ya kiini cha ndani cha palm oil/mchikichi
28,000.00 (TZS) 26,000.00 (TZS)

Sabuni ya mche

Sabuni nzur kwa matumiz ya majumban Box 1 ime beba miche 25
80,000.00 (TZS) 72,000.00 (TZS)
Copyright © 2024 Mama Mia’s Soko. All rights reserved