+255 765 658 595 info [at] mamamia.co.tz
You currently have
in your basket.

GENGESAFI GROCERIES

Wauzaji na wasambazi wa viungo na mboga mboga fresh kutoka shamba.

Tunauza viungio kama

  • nyanya, vitunguu, karoti, hoho, pili pili, tangawizi bamia,
  • mboga za majani za aina zote,
  • matunda  na vingine vingi.

Weka oda yako tukifishie ulipo.

Tunapatikana Katesh - Hanang

Simu : +255 658 909 732

Barua pepe: mariarenatus176@gmail.com

 

Sort by
Display per page

Asali kwa kilo

Asali nzuri ya nyuki Wakubwa
14,000.00 (TZS)

Asali kwa nusu kilo

Asali ya nyuki Wakubwa kwa kipimo cha nusu kilo
8,000.00 (TZS)

Bamia kwa fungu

Bamia nzuri na laini sana, hazijakomaa
600.00 (TZS)

Cabbage pc 1

Cabbage nzuri kubwa
1,000.00 (TZS)

Hoho kwa fungu

Hoho kubwa za kijani fungu moja zinakuwa tatu
1,000.00 (TZS)

Karoti kwa fungu

Karoti kubwa nzuri na Tamu zinafaa hata kwa kutafuna , karoti fungu zimakuwa tatu
1,001.00 (TZS) 1,000.00 (TZS)
Copyright © 2024 Mama Mia’s Soko. All rights reserved