+255 765 658 595 info [at] mamamia.co.tz
You currently have
in your basket.

GENGESAFI GROCERIES

Wauzaji na wasambazi wa viungo na mboga mboga fresh kutoka shamba.

Tunauza viungio kama

  • nyanya, vitunguu, karoti, hoho, pili pili, tangawizi bamia,
  • mboga za majani za aina zote,
  • matunda  na vingine vingi.

Weka oda yako tukifishie ulipo.

Tunapatikana Katesh - Hanang

Simu : +255 658 909 732

Barua pepe: mariarenatus176@gmail.com

 

Sort by
Display per page

Karoti kwa kilo

Karoti nzuri na kubwa, tamu sana hata kwa Katarina tuu
5,000.00 (TZS)

Kikapu kidogo

Hii ni package yenye mchanganyiko wa nyanya sado 1,karoti nusu sado, hoho nusu sado, bamia kilo 1, nyanyachungu kilo1 na vitunguu nusu sado pamoja na pilipili
20,000.00 (TZS)

Kitunguu saumu kwa pc 1

Vitunguu vikubwa vizuri vilivyo komaa
500.00 (TZS)

Nyanya kwa fungu

Nyanya kubwa nzuri na kubwa, fungu moja zinakuwa 4
1,000.00 (TZS)

Nyanya kwa fungu

Nyanya kubwa nzuri na kubwa, fungu moja zinakuwa 4
1,000.00 (TZS)

Nyanya kwa sado 1

Nyanya nzuri na kubwa
6,000.00 (TZS)
Copyright © 2024 Mama Mia’s Soko. All rights reserved